Monday, 23 January 2017

Mkuu wa wilaya ya Mbulu akemea Mila potofu katika jamii...

Wananchi wilayani mbulu wametakiwa kuacha mila potofu ya ukeketaji kwani zinaleta madhara kutokana na vitendo hivyo .
Hayo yamebainiswa na mkuu wa wilaya ya mbulu Bw. Chelestino Simbalimile Mofuga amesema vitendo hivyo vinafanyika kwa usiri na amewataka wananchi waache mila hizo potofu.

Kwa upande wao viongozi wa dini wamesema majukwaa ya ibada yana nafasi kubwa  kama yalivyo majukwaa mengine katika kupambana  na ukeketaji.


Mkuu wa wilaya ametoa rai kwa viongozi wa dini kukemea maovu ili jamii iweze  kubadilika. 
= = = = == = = 

No comments:

Post a Comment